Iam Mavericking

Iam Mavericking Page concern Real Estates basically Plots

Everyone sees the highlight reel, but nobody sees the years of ‘no’s,’ the late nights fueled by caffeine, and the momen...
13/04/2026

Everyone sees the highlight reel, but nobody sees the years of ‘no’s,’ the late nights fueled by caffeine, and the moments I almost packed it in. Success isn’t a lightning bolt; it’s the result of showing up on the days you feel like a ghost. If you’re in the middle of your ‘quiet years’ right now—keep going. The harvest is coming.

05/04/2026

🚨 FURSA YA KIPEKEE! 🚨

Unatafuta kiwanja kwa bei nafuu? Hii hapa nafasi yako!

📍 Vikindu – Vianzi
📏 Ukubwa: 40 × 50 ft
💰 Bei: Milioni 2 tu!

✅ Eneo zuri kwa makazi
✅ Nzuri kwa uwekezaji
✅ Thamani inaongezeka kila siku

Usisubiri hadi bei ipande! Chukua hatua leo, jenga kesho.

📲 Wasiliana nami sasa kwa maelezo zaidi 0719545940

Hivi hapa vimegusa Barabara ya Vianzi- Sangatini- PembaMnazi.
16/03/2026

Hivi hapa vimegusa Barabara ya Vianzi- Sangatini- PembaMnazi.

🚨 FURSA YA KIPEKEE! 🚨Unatafuta kiwanja kwa bei nafuu? Hii hapa nafasi yako!📍 Vikindu – Vianzi📏 Ukubwa: 40 × 50 ft💰 Bei: ...
21/02/2026

🚨 FURSA YA KIPEKEE! 🚨

Unatafuta kiwanja kwa bei nafuu? Hii hapa nafasi yako!

📍 Vikindu – Vianzi
📏 Ukubwa: 40 × 50 ft
💰 Bei: Milioni 2 tu!

✅ Eneo zuri kwa makazi
✅ Nzuri kwa uwekezaji
✅ Thamani inaongezeka kila siku

Usisubiri hadi bei ipande! Chukua hatua leo, jenga kesho.

📲 Wasiliana nami sasa kwa maelezo zaidi 0719545940

05/02/2026
05/02/2026

Celebrating my 5th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉

“A man’s worth is questioned when his usefulness fades”📌✍️That is the world we live in 🌍
04/02/2026

“A man’s worth is questioned when his usefulness fades”📌✍️

That is the world we live in 🌍

✨ FURSA YA DHAHABU YA UMILIKI WA KIWANJA ✨Tunauza viwanja vya hadhi ya juu vilivyopo katika eneo zuri, tulivu na lenye m...
19/01/2026

✨ FURSA YA DHAHABU YA UMILIKI WA KIWANJA ✨

Tunauza viwanja vya hadhi ya juu vilivyopo katika eneo zuri, tulivu na lenye maendeleo ya haraka. Hii ni nafasi adimu kwa wale wanaotafuta makazi ya kifahari au uwekezaji wenye thamani ya kudumu.

🏡 SIFA MUHIMU:
• Umeme na maji yapo karibu
• Barabara nzuri inayopitika mwaka mzima
• Mazingira salama na ya kuvutia
• Umiliki halali (Hati safi)
• Inafaa kwa makazi ya kisasa au biashara

📍 Eneo: ______Vikindu Vianzi
📐 Ukubwa wa Kiwanja: _____FUTI 40*50
💰 Bei: ______1.3 Milioni (nafuu kulinganisha na thamani ya eneo)

16/01/2026

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا نُودِيَ لِلصَّلَاةِ مِن يَوْمِ الْجُمُعَةِ فَاسْعَوْا إِلَىٰ ذِكْرِ اللَّهِ وَذَرُوا الْبَيْعَ ۚ ذَٰلِكُمْ خَيْرٌ لَّكُمْ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ

Surat Al’Jumaa 62:9

Ulikuwa ni Wasaa Mzuri kushiriki katika Zoezi la Kujenga Chama chetu  ambapo tulismamia zoezi zima la Usajili wa Wanacha...
20/07/2024

Ulikuwa ni Wasaa Mzuri kushiriki katika Zoezi la Kujenga Chama chetu ambapo tulismamia zoezi zima la Usajili wa Wanachama kwa Njia ya Electroniki ili kupata Kadi za Kimtandao Wilaya ya Mkuranga.

Kwa dhati kabisa ningependa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu Mwingi wa Rehma kwa Rehma zake na kutufanya tuanze na kumaliza zoezi letu kwa kufanikiwa kwa Asilimia zote.

Lakini pia shukrani zimuendee Mwenyekiti wetu na Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha kwamba Ccm inahama kutoka kwenye mfumo wa Kadi za Ganda kuelekea kwenye Kadi za Kieletroniki hii ni hatua kubwa sana.

Katika zoezi letu tulikumbana na Changamoto sana lakini kwa kuwa tuna Viongozi Imara Mkuranga chini ya Mwenyekiti wetu Alhaji Magaila, imepelekea kufanya zoezi letu kwenda vizuri richa ya Changamoto ndogondogo. Lakini pia Mheshimiwa Mkuu wetu wa Wilaya Dada yetu Khadija Nassir Ally amekuwa na sisi Bega kwa Bega kuhakikisha Zoezi letu linakwenda Vizuri.
Kwa dhati Kabisa shukrani zimuendee Mbunge wetu wa Jimbo la Mkuranga ambae pia ni Waziri wa Mifugo ma Uvuvi Mhe Alhaji Abdallah H. Ulega kwa kujitoa kwake kutusaidia vifaa mbalimbali ili vitusaidie katika Kutekeleza Zoezi letu vizuri bila ya Kukwama, hivyo pamoja na yote shukrani pia zimuendee Mbaraza na Mjumne wa Kamati ya Utekelezaji wa Umoja wa Wanawake Tanzania anaetokea Mkoa wa Pwani Mhe Mariam Ibrahim Ulega kwa Mchango wake Katika Zoezi hili mpaka kufikia Tamati.

Zoezi hili limefanywa na Sisi Vijana Chini ya Mwenywkiti wetu wa Vijana wa Wilaya, Kaka yetu Mohamed Kizundu ,hivyo Hamasa na Ari tuliyopata na kutupelekea kufanya kazi vizuri ilitoka kwa Kaka yetu Mwenyekiti wetu Bingwa kabisa.

Lakini haya yote tusingeyatekeleza kwa ufanisi bila ya kuwa na Timu Imara, hivyo tulikuwa na Timu ya Vijana Makini na Imara.







Address

Vikindu

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Iam Mavericking posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Iam Mavericking:

Share

Category