Shirika La Nyumba Zanzibar. - ZHC

Shirika La Nyumba Zanzibar. - ZHC Shirika la Nyumba Zanzibar ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria namba 6 ya mwaka 2014. Sh

Unasubiri nini, jiunge nasi leo  Tiktok upate taarifa zetu kwa haraka. ZHC Huduma Bora, Kidigitali Zaidi! Maisha yako ya...
11/06/2026

Unasubiri nini, jiunge nasi leo Tiktok upate taarifa zetu kwa haraka. ZHC Huduma Bora, Kidigitali Zaidi!

Maisha yako ya makazi yanaanza hapa!

Kesho yao inajengwa leo, sasa unaweza kumiliki nyumba ya ndoto yako huku ukilipia taratibu na bila ya riba. Kwa maelezo ...
11/06/2026

Kesho yao inajengwa leo, sasa unaweza kumiliki nyumba ya ndoto yako huku ukilipia taratibu na bila ya riba. Kwa maelezo zaidi pakua app yetu ya ZHC Connect au fika katika Ofisi za Shirika la Nyumba Zanzibar..

Ndioo sasa unaweza kumiliki nyumba ya ndoto yako huku ukilipia taratibu na PSHS, kwa maelezo zaidi pakua app yetu ya ZHC...
11/06/2026

Ndioo sasa unaweza kumiliki nyumba ya ndoto yako huku ukilipia taratibu na PSHS, kwa maelezo zaidi pakua app yetu ya ZHC Connect au fika katika Ofisi za Shirika la Nyumba Zanzibar..

Habari njema kwako mteja wa ZHC sasa unaweza kumiliki nyumba ya ndoto yako na ukilipia bila riba na  kwa kutumia mfumo w...
10/06/2026

Habari njema kwako mteja wa ZHC sasa unaweza kumiliki nyumba ya ndoto yako na ukilipia bila riba na kwa kutumia mfumo wa ulipaji kidogo kidogo, kwa maelezo zaidi pakua app yetu ya ZHC Connect au fika katika Ofisi za Shirika la Nyumba Zanzibar..

Mpendwa mtejaa unasubiri nini?? 🌐 Tembelea  kurasa zetu za Youtube ili kupata taarifa na maendeleo ya miradi yetu kwa ha...
08/06/2026

Mpendwa mtejaa unasubiri nini??
🌐 Tembelea kurasa zetu za Youtube ili kupata taarifa na maendeleo ya miradi yetu kwa haraka.

πŸ“ž Kwa msaada wa haraka, wasiliana nasi moja kwa moja kwa simu!
______________________________________
✨ ZHC- Huduma Bora, Kidigitali Zaidi!
πŸ“‘ Jiunge nasi leo – Maisha yako ya makazi yanaanza hapa!

Mpendwa mtejaa unasubiri nini?? Pakua app ya ZHC ConnectπŸ“²πŸ“² na ujihudumie popote ulipo.. ________________________________...
08/06/2026

Mpendwa mtejaa unasubiri nini?? Pakua app ya ZHC ConnectπŸ“²πŸ“² na ujihudumie popote ulipo..

______________________________________
πŸ“₯ Pakua Sasa:
πŸ”Ή Kwa Android: Tafuta ZHC-Connect kwenye Play Store
πŸ”Ή Kwa iPhone: Tafuta ZHC-Connect kwenye App Store
🌐 Tembelea pia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kwa matangazo mapya na taarifa muhimu.
πŸ“ž Kwa msaada wa haraka, wasiliana nasi moja kwa moja kwa simu!
______________________________________
✨ ZHC-Connect – Huduma Bora, Kidigitali Zaidi!
πŸ“‘ Jiunge nasi leo – Maisha yako ya makazi yanaanza hapa!

07/06/2026
05/06/2026
05/06/2026

Dkt. Mwinyi Atembelea Banda la ZHC, Apongeza Jitihada za Ujenzi wa Makazi na Biashara

Zanzibar. 04.06.2026

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo ametembelea banda la Shirika la Nyumba Zanzibar (ZHC) katika Jukwaa la Uwekezaji Zanzibar 2026 lililofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip Airport, Mkoa wa Mjini Magharibi.

Jukwaa hilo limewakutanisha wawekezaji, taasisi za kifedha, washirika wa maendeleo, wafanyabiashara pamoja na Watanzania wanaoishi nje ya nchi (Diaspora) kutoka mataifa mbalimbali duniani, likiwa na washiriki takribani 600.

Akiwa katika banda la ZHC, Dkt. Mwinyi alipatiwa maelezo kuhusu hatua na mafanikio ya shirika hilo katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya nyumba za makazi na biashara inayotekelezwa katika visiwa vya Unguja na Pemba.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Zanzibar, Ndg. Sultan Said Suleiman, alimueleza Rais kuwa ujenzi wa miradi mbalimbali unaendelea kwa mafanikio makubwa, ikiwemo Mradi wa Chumbuni uliopo Wilaya ya Magharibi pamoja na Mradi wa Mwinyi Housing Scheme unaojumuisha maeneo ya Kisakasaka B na Kisakasaka D.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu huyo, Mradi wa Kisakasaka B wenye jumla ya nyumba 548 tayari umeuzwa kwa asilimia 100, huku Mradi wa Kisakasaka D ukiendelea kuvutia wanunuzi na mauzo yake yakiongezeka kwa kasi kutokana na mahitaji makubwa ya makazi ya kisasa Zanzibar.

Ndg. Sultan pia alimshukuru Dkt. Mwinyi kwa mchango wake katika kuimarisha sekta ya nyumba na makazi, akieleza kuwa ushiriki wake katika kutangaza na kuhamasisha wananchi kuwekeza katika nyumba za shirika umechangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya miradi hiyo.

Jukwaa la Uwekezaji Zanzibar 2026 linaendelea kuwa fursa muhimu ya kuitangaza Zanzibar k**a kitovu cha uwekezaji katika ukanda wa Afrika Mashariki, huku sekta ya nyumba na maendeleo ya miji ikichukua nafasi kubwa katika kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.

Address

Darajani Street Zanzibar
Zanzibar City

Opening Hours

Monday 07:30 - 15:30
Tuesday 07:30 - 15:30
Wednesday 07:30 - 15:30
Thursday 07:30 - 15:30
Friday 07:30 - 15:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shirika La Nyumba Zanzibar. - ZHC posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Shirika La Nyumba Zanzibar. - ZHC:

Share